Citizen News

Expand Ad
Wednesday, 19 September 2012 18:12

Polisi Wanasa Pombe Haramu Thika Featured

Posted By 
Rate this item

Polisi Wanasa Pombe Haramu Thika

Katika mseto wetu taarifa za kaunti, polisi wamenasa zaidi ya lita elfu 10 za pombe haramu kwenye nyumba ya Makamu wa Rais wa zamani hukoThika. Kwingineko, bintiye Waziri wa zamani wa Fedha Arthur Magugu sasa ataka mazishi yake kusitishwa kwa muda.

Last Modified Wednesday, 19 September 2012 18:21

You are here: Home Nipashe Kwenye Citizen Nipashe Habari